Searching...
Jumatatu, 9 Oktoba 2017

BREAKING NEWS: WATU 15 WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI LAO KUDUMBUKIA ZIWA VICTORIA

Zaidi ya watu 15 wamefariki dunia huku wengine wakijeruhiwa huko Mkoani Mwanza baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Hiace kutumbukia ndani ya Ziwa Victoria eneo la Kigongo Feri Wilayani Misungwi Mkoani humo.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!