Searching...
Jumapili, 7 Julai 2013

JARIDA LA ONSPOT LAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DSM

Jarida la onspOt magazine ambalo hapo awali lilijulikana kama Teenspot Magazine limezindiliwa rasmi jumamosi ya Julai 6 mwaka huu kwenye hotel ya Protea Courtyard jijini Dar es Salaam. 
 Baadhi ya wageni waalikwa katika uzinduzi wa jarida la onspot magazine
 Mkurugenzi wa masoko na mahusiano Nsia Swai akielezea mabadiliko ya jarida hilo kutoka kuitwa teenspot hadi onspot magazine
 Mgeni rasmi Faustine Ndungulile Mbunge wa Kigamboni (kulia) akifungua pazia kuashiria kuzindua jarida hilo la vijana
 Mkurugenzi wa Masoko na mahusiano wa onspot magazine Nsia Swai
 Mbunge wa Kigamboni Faustine Ndungulile

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!