Searching...
Jumatatu, 9 Oktoba 2017

RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI OCTOBER 09, 2017.

Waziri wa Wizara mpya ya Madini Mhe. Angela Kairuki akila kiapo cha utii mbele ya Rais Magufuli mapema leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Mhandisi Atashasta Nditiye akila kiapo cha utii mbele ya Rais Magufuli mapema leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Daniel Shonza akila kiapo cha utii mbele ya Rais Magufuli mapema hii leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Kangi Lugola akipokea hati ya kiapo cha utii kwa Rais Magufuli mapema leo Ikulu Jijini Dar es Salaam.

DAR ES SALAAM: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli leo ameliapisha baraza lake jipya la Mawaziri katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam ambapo Mawaziri wote wameapa kiapo cha uaminifu pamoja na  kiapo cha maadili ya utumishi wa umma.
Hii ni orodha ya Mawaziri hao walioapishwa hii leo.
1.Wizara ya Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora.

Waziri – George Huruma Mkuchik

2.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira

Waziri – January Makamba

Naibu Waziri – Kangi Lugola

3.Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu

Waziri – Jenista Mhagama

Naibu Waziri – Anthony Peter Mavunde

Naibu Waziri Walemavu – Stela Alex Likupa
4.Wizara ya Kilimo

Waziri – Charles John Tizeba

Naibu Waziri – Mary Mwanjelwa

5.Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

Waziri – Makame Mbarawa

Naibu Waziri – Atashasta Nditiye

Naibu Wziri – Elias John Kwandikwa
6.Wizara ya Fedha na Mipango

Waziri – Dr Philip Mpango

Naibu Waziri – Dr Ashatu Kijaji

7.Wizara ya Nishati

Waziri – Medrad Matogoro Kalemani

Naibu Waziri – Subira Hamisi Mgalu

8. Wizara ya Madini

Wairi – Angela Kairuki

Naibu Waziri – Haroon Nyongo

9. Wizara ya Katiba na Sheria

Waziri – Palamagamba Kabudi

10. Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afika Mashariki, Kikanda na Kimataifa.

Waziri – Agustino Mahiga

Naibu Waziri – Dkt Susan Kolimba

11 .Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Waziri – Dr Hussein Mwinyi

12. Wizara ya Mambo ya Ndani

Waziri – Mwigulu Nchemba

Naibu Waziri – Hamad Masauni

13. Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Waziri – William Lukuvi

Naibu Waziri – Angelina Mabula

14. Wizara ya Maliasili na Utalii

Waziri – Hamisi Kigwangala

Naibu Waziri – Ngailonga Josephat

15. Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji

Waziri – Charles Mwijage

Naibu Waziri – Stella Manyanya

16. Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Ufundi

Waziri – Joyce Ndalichako

Naibu Waziri – William Ole Nasha

17 .Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

Waziri – Ummy Mwalimu

Naibu Waziri – Faustine Ndugulile

18. Wizara ya Habari, Utamadu, Wasanii na Michezo

Waziri – Dr . Harrison Mwakyembe

Naibu Waziri – Juliana Shonza

19. Wizara ya Maji na Umwagiliaji

Waziri – Isack Kamwelwe

Naibu Waziri – .Juma Hamidu Aweso

20. Mifugo na Uvuvi

Waziri – Luhaga Mpina

Naibu Waziri – Abdallah Ulega

21. Wizara ya TAMISEMI

Waziri – Suleiman Jafo


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!