Searching...
Alhamisi, 18 Aprili 2013

ANGALIA PICHA 10 ZA JINSI BABU SAMBEKE ALIVYOAGWA JIJINI ARUSHA.


DSCF8833
Jamal Sambeke mtoto wa marehemu akifunga jeneza la baba yake mara baada ya watu mbalimbali kutoa heshima zao za mwisho nyumbani kwake njiro Themi Mkoani Arusha
DSCF8840
Waombolezaji wakibeba jeneza la Bilionea Babu na kuweka kwenye gari maalumu tayari kwa safari kuelekea Moshi kwa mazishiDSCF8828

Watu wakitoa heshima za mwisho
DSCF8844
Watoto wa marehemu Sia na Getrude waliovalia nguo nyeupe
DSCF8834
Mtoto wa marehemu Jamal Sambeke akifunga jeneza la marehemu baba yake Babu Sambeke
DSCF8830
Jaji Aisha nyerere msibani pamoja na mkurugenzi wa kibo palace Vicent Laswai 
DSCF8832

DSCF8848
Baadhi ya magari ya kifahari yaliyofika katika msiba huo
DSCF8838
Mkurugenzi wa hoteli ya Kibo Palace Vicent Laswai akizungumza msibani mara baada ya watu mbalimbali kutoa heshima zao za mwisho
DSCF8847
Waombolezaji
PICHA NA PAMELA MOLLEL.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!