Searching...
Jumanne, 22 Julai 2014

VAN GAAL AANZA KWA MKWALA WA MAZINGIRA MAN U.



Laying down the law: Louis van Gaal has already begun to implement his ideas at Manchester United
Katika hali ya kuwaweka vizuri kisaikolojia wachezaji wa manchester United na viongozi wao ili kutambua uwepo wa mwalimu mpya kikosini hapo tayari Louis van Gaal ameanza kuwekeza mawazo yake pale alipoagiza uwanja wa mazoezi wa timu hiyo upandwe miti mara moja.
Problems: Van Gaal has immediately identified areas of United's training complex that need improving
Huu ndio uwanja wa mazoezi wa Man U ambao kocha wao Van Gaal ameagiza upandwe miti mara moja.
Assessment: Van Gaal is currently running the rule over his United players during their pre-season tour
Kazi ya Van Gaal kukinoa kikosi hicho cha ngome kongwe imeanza rasmi kama picha zinavyoonyesha juu na chini.
Down to business: United's pre-season starts on Wednesday when Van Gaal will take charge for the first time

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!