Searching...
Jumanne, 22 Julai 2014

MOURINHO AWAHENYESHA WACHEZAJI WAKE HUKO AUSTRIA.


Special ones: Jose Mourinho lets new signing Diego Costa know exactly what to do on the training field
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akimpa maagizo mshambuliaji wake mpya Diego Costa katika ziara yao ya kujiweka imara kabla ya kuanza kwa michuano ya ligi kuu England hapo tarehe 16 mwezi ujao wa nane.
Powerhouse: Costa will pose a handful for Premier League defences next season when on runs like this one
Diego Costa akiwa kazini kumuonyesha Mourinho kwamba hakukosea kumsajili kutoka Atletico Madrid.
This is how you do it: Mourinho put in a lot of time with his new striker to help him hit the ground running
Not-so-hot-shot: Cesar Azpilicueta aims a shot which Cech saves - the full back has just one goal for Chelsea
Mlinda mlango wa Chelsea Peter Cech akiokoa mkwaju wa penalti wa Cesar Azpilicueta katika mazoezi yao wakiwa ziarani nchini Austria.
New boys galore: Cesc Fabregas gets away from Filipe Luis with youngster Izzy Brown approaching
Kiungo mpya wa Chelsea Cesc Fabregas ambaye amewaingiza makocha wake Mourinho na wa zamani Wenger katika vita ya maneno naye alikuwepo uwanjani kufanya mazoezi.
Familiar territory: Ivanovic tries to get a diving header past Cech at the Waldarena
Mashabiki wengi wa soka walijitokeza katika uwanja wa mazoezi wanaoutumia Chelsea nchini Austria wa Waldarena

On parade: Chelsea's summer signings (from left) Diego Costa, Cesc Fabregas and Filipe Luis in Austria
Majembe mapya ya Chelsea Diego Costa, Cesc Fabregas na Filipe Luis wakiwaonyesha mashabiki wa Austria kwamba ni kweli wamejiunga na matajiri hao wa London. 

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!