Searching...
Jumanne, 22 Julai 2014

MFUNGAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA ATUA REAL MADRID.


Done deal: James Rodriguez underwent his medical in Madrid and is set to be unveiled on Tuesday
Timu tajiri ya soka ya Hispania ya Real Madrid imeendeleza ubabe na kiburi chake cha pesa baada ya kumsajili mfungaji bora wa michuano ya kombe la dunia James Rodriguez kwa kitita cha paundi milioni 60 na kuweka historia ya ada ya uhamisho baada ya Christiano Ronaldo na Gareth Bale.
Thumbs up: Rodriguez becomes the fourth most-expensive signing in history for £60million
Hivi ndivyo Rodriguez alivyopitia vipimo vya afya katika hosptali ya Madrid ikiwa ni hatua ya kujiunga na miamba hiyo ya soka ya Hispania.
Done: Rodriguez leaves the hospital Sanitas La Moraleja after his medical in Madrid
James Rodriguez akiondoka viwanja vya hospital ya Sanitas La Moraleja Madrid baada ya vipimo vyake kukamilika.
Next stop, the Bernabeu: Rodriguez will be unveiled on Tuesday afternoon after signing
James Rodriguez alitarajiwa kutambulishwa rasmi leo jumanne katika uwanja wa Bernabeu mbele ya mashabiki wa Real Madrid.
Ready for the big stage: Rodriguez comes to Madrid having outshone Cristiano Ronaldo at the World Cup
James Rodriguez anatarajiwa kuleta chachu kubwa ya ushambuliaji katika kikosi cha Real ambapo ataungana na Ronaldo,Bale na Benzema.
Got: Kroos bagged the No 8 shirt when he joined Real Madrid for £24m from Bayern Munich
Tayari nyota wa Ujerumani Toni Kroos alishasajiliwa mapema mwezi huu na kuifanya klabu hiyo ya Hispania kujaza nyota wengi wa soka Duniani...Swali ni Je,wataweza kupambana na miamba mingine ya Hispania kama vile Barcelona na Atletico Madrid?

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!