Searching...
Jumamosi, 5 Julai 2014

NEYMAR AHAMISHWA HOSPTALI KWA HELCOPTA YA JESHI

Moving: Neymar was flown to Sao Paulo by helicopter to begin his recovery Mchezaji wa timu ya taifa ya Brazili na klabu ya Barcelona leo hii amehamishwa hosiptali ya Sao Carlos kwenda  Sao Paulo kwaajili ya matibabu zaidi baada ya kuvunjika sehemu ya mfupa wake wa uti wa mgongo katika mechi baina ya Brazili na Columbia ambapo Brazil walishinda 2-1.
Devastated: Neymar is transported from an ambulance to a military helicopter to be airlifted home Neymar akiingizwa kwenye gari la wagonjwa tayari kupelekwa kwenye Helkopta ya jeshi kwenda hosiptalini Sao Paulo kwa matibabu zaidi.
Thanks: Neymar managed a wave as he left for Sao Paulo Neymar akiwapungia mashabiki wake waliojitokeza kumsindikiza na kumjulia hali.
Injured: Neymar was in a wheelchair as he boarded an ambulance at Rio airport Neymar akiwa kwenye kiti maalumu cha wagonjwa baada ya kutua hosiptalini Sao Paulo kwa Helkopta ya Jeshi.
Emotional: David Luiz hugs Neymar as he waits to board an ambulance after Friday's win over Colombia Beki wa Brazili David Luiz akimpa pole Neymar muda mfupi kabla ya kuingizwa kwenye Helcopta. 
Kila la Kheri Neymar.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!