Searching...
Jumanne, 22 Julai 2014

HATIMAYE DUNGA AKABIDHIWA MIKOBA YA SCOLARI


Familiar face: Dunga has been re-appointed as the new boss of Brazil replacing Luiz Felipe Scolari
Baada ya timu ya taifa ya Brazili kufanya vibaya katika michuano ya kombe la dunia iliyofanyikia katika ardhi yake ya nyumbani sasa shirikisho la soka la Brazili limemtangaza rasmi Dunga kuwa kocha wao mkuu baada ya kumfukuza kocha wao Luiz Felipe Scolari
All smiles: Dunga stated that he is 'immensely happy to be back' in the Brazil hotseat
Headache: Scolari resigned after the World Cup where Brazil were thrashed 7-1 by Germany in the semis
Scolari bado hajajitokeza kuzungumzia utambulisho huo wa Dunga kunako timu ya taifa.
Last time: Dunga led Brazil to the quarter-finals at the 2010 World Cup during his previous spell
Dunga ambaye alikiongoza kikosi cha Brazili katika fainali za kombe la dunia mwaka 2010 nchini Afrika Kusini alimlaumu sana Scolari kuwaacha wakongwe kama vile kaka na Robinho.
Different crop: The likes of Robinho, pictured playing for Dunga in 2010, are no longer part of the squad
Captain fantastic: Dunga led Brazil to their fourth World Cup victory at the 1994 tournament in the USA

Kicheko cha kazi mpya?

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!