Searching...
Jumapili, 6 Julai 2014

KILIO ARGENTINA,DI MARIA KUKOSA NUSU FAINALI DHIDI YA UHOLANZI

Doubt: Angel Di Maria's World Cup looks to be over after he suffered a thigh injury against Belgium Michuano ya kombe la dunia inayoendelea huko nchini Brazili imekubwa na jinamizi la majeruhi kwa mastaa wa soka baada ya kipenzi cha soka cha wabrazili Neymar Dosantos kuvunjika sehemu ya mfupa wake wa uti wa mgongo na kuhitimisha ndoto yake ya kuendelea na michuano hiyo.
Replaced: Di Maria was substituted in the 33rd-minute with a thigh injury in Argentina's 1-0 win over Belgium
sasa ni zamu ya miamba ya Soka Argentina itamkosa mchezaji wake nguli Angel Di Maria katika mechi yao ya nusu fainali dhidi ya Uholanzi baada ya kuumia goti katika mechi ya robo fainali dhidi ya Ubelgiji.
Agony: Di Maria looks likely to miss Argentina's first World Cup semi-final since 1990 Di Maria akiwa hoi uwanjani baada ya kuumia mguu wake na kuitia hofu kambi ya Argentina wakati wakikabiliwa na mechi ngumu sana ya nusu fainali dhidi ya Uholanzi jumatano wiki ijayo.
Mixed emotions: Injured Di Maria (centre sitting down) applauds goalscorer Gonzalo Higuain Di Maria alitoka mwenyewe uwanjani tofauti na Neymar aliyetolewa na machela kitendo ambacho kinatafsiriwa kuwa huenda akacheza mchezo wa nusu fainali dhidi ya Uholanzi japo kwa dakika 45.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!