Searching...
Ijumaa, 20 Juni 2014

MZIMU WA HISPANIA WAENDELEA KUITESA ITALIA KOMBE LA DUNIA.

Ruiz stuns Italy, sends Costa Rica through 
Timu ya taifa ya Italia baada ya kuibuka na ushindi wa mzuri wa mabao 2-1 dhidi ya England katika mechi yake ya kwanza, leo imeduwazwa na Costa Rica baada ya kubugizwa bao 1-0 lililofungwa na Ruiz mnamo dakika ya 41,na kuwekwa katika njia panda ya kutinga katika hatua ya 16 bora.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!