Searching...
Jumanne, 7 Januari 2014

MOYES APEWA MAJINA 5 YA KUSAJILI,ANGALIA PICHA ZAO NA TIMU WANAZOCHEZEA.

 
DAVID MOYES-KOCHA MAN U.
Kocha wa Manchester United David Moyes amepewa orodha ya wachezaji wanaotakiwa kununuliwa na timu hiyo katika msimu huu wa dirisha dogo,orodha yao ni kama ifuatavyo.
 KOKE,21-ATLETICO MADRID.
DUO MARCO REUS,23-BORUSSIA DORTMUND
IIKAY GUNDOGAN,23-BORUSMUND
 
ELIAQUIM MANGALA,22-PORTO
 LUKE SHAW,18-SOUTHAMPTON.
Lakini pamoja na mapendekezo hayo ya Manchester,Moyes anafahamu fika kwamba atakumbana na kazi kubwa kuzinasa saini zao.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!