Searching...
Jumanne, 7 Januari 2014

MAELFU WAMUAGA NGULI NA JABALI LA SOKA DUNIANI EUSEBIO

 
Mwili wa marehemu Eusebio ukiingizwa uwanjani tayari kwa watu kutoa heshima zao za mwishoBenfica supporters cheer in tribute to Eusebio, who died on 6 January 2014 
Maelfu ya watu wakiwa ndani ya uwanja wa soka wa Benfika wa Luz nchini Ureno kumuaga nguli wa soka duniani marehemu Ausebio
Eusebio's coffin at the centre of the pitch in the Luz Stadium in Lisbon, 6 January 2014  
Jeneza la dhahabu lililobeba mwili wa marehemu Eusebio likiwa kati kati ya uwanja wa soka tayari kabisa watu kutoa heshima zao za mwisho.
The hearse carrying Eusebio's coffin stops at Lisbon's city hall, 6 January 2014  
Waombolezaji wengine walijikusanya nje ya uwanja kushuhudia kile kinachoendelea ndani ya uwanja baada ya kuzuiliwa nje kutokana na wingi wa watu 
Mourners wait for the Eusebio's funeral cortege at Lisbon's Lumiar cemetery, 6 January 2014  
Nyumba ya milele ya Eusebio ikiea imejengewa kisasa kaskazini mwa wilaya ya Lisbon

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!