Searching...
Alhamisi, 9 Januari 2014

MANCHESTER CITY BALAAA,YAUA 6-0 NUSU FAINALI CAPITAL CUP,NEGREDO APIGA HATT TRICK

Manchester City's Spanish striker Alvaro 
Alvaro Negredo kushoto akifurahia goli lake la kwanza kati ya magoli matatu aliyoyafunga yeye mwenyewe na kuhitimisha mechi hiyo ya nusu fainali ya Capital One kufikia 6-0 dhidi ya vibonde vinavyochechemea kunako ligi kuu England West Ham United.
Twitter mocks Johnson's West Ham debut 
Mchezaji wa kimataifa wa Ivory Cost Yaya Toure akipigilia msumari wa tatu katika ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya West Ham katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Capital One.
 Fans urge West Ham to sack Allardyce 
Kocha wa West Ham  Sam Allardyce (Big Sam) akiwa haamini macho yake baada ya wachezaji wake kukubali kipigo cha kudhalilisha cha mabao 6-0 kutoka kwa Manchester City.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!