Searching...
Jumatano, 8 Januari 2014

HUYU NDIYE MCHEZA SOKA WA UJERUMANI,ASTON VILLA,EVERTON NA WESTHAM ALIYEJITANGAZA KUWA NI SHOGA

 Thomas Hitzlsperger
  THOMAS HITZLSPERGER.
Hatimaye Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Ujerumani,Aston Villa,Everton na West hamTHOMAS HITZLSPERGER ameweka wazi kwenye vyombo vya habari kwamba yeye ni shoga na kuweka historia ya kuwa mchezaji maarufu zaidi duniani wa soka aliyejitangaza kuwa ni shoga huku akisema anajisikia amani na furaha kuujulisha ulimwengu kuhusu hali hiyo.
Der 52-fache deutsche Fußballnationalspieler Thomas Hitzlsperger 
THOMAS HITZLSPERGER.
mchezaji huyo wa nafasi ya kiungo mwenye umri wa miaka 31 amesema anatarajia siku moja atakuja kuishi na mume wake pamoja na kuongeza kwamba hajisikii aibu watu kujua kwamba yeye ni shoga.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!