Mzee Lee Tuttle, 66, akiwa amekwama barabarani huku gari lake likiwa limefunikwa na badrafu (HALIONEKANI PICHANI)
Msimu wenye maridi kali kuwahi kushuhudiwa nchini
Marekani katika miongo miwli iliyopita, unaelekea kupiga maeneo ya
Kusini na Mashariki mwa nchi hiyo.
Miji ya New York na Washington ni miongoni mwa
miji ambayo imekumbwa na theluji pamoja na baridi kali inayokuja kwa
upepo mkali kutoka katika bahari ya Arctic.Masikini farasi huyu anajaribu kunywa maji yaliyoganda bila mafanikio huko Oklahoma
Hali hii mbaya ya hewa imelazimisha kufungwa kwa shule huku biashara nyingi zikitatizika hata na safari za ndege pia zimekatizwa pakubwa.
Mama mmoja wa Michigan akiwa na mwanae akitoka kufanya manunuzi huku barafu kali ikiendelea kudondoka.
Huku baridi ikizidi, gavana wa New York (Andrew Cuomo) amesema kuwa huenda leo jumanne baadhi ya barabara kuu zikafungwa.
Mkazi mmoja wa Michigan,akijaribu kuondoa barafu katika nje ya nyumba yake.
Mamilioni ya watu wameonywa wasitoke nje.
Eneo lenye baridi kali ni Babbitt na Minessota.
Theluji hiyo imesababishwa na hewa yenye baridi kali inayotoka katika
bahari ya Arctic.

Barafu kali ikiendelea kuanguka na kuongezeka katika mto Michigan marekani.
Mzee Allan Umscheid akisikilizia maumivu makali ya upepo wa barafu
Barafu kali ikiendelea kuanguka na kuongezeka katika mto Michigan marekani.
Jamaa watatu wa familia moja wakimalizia kujenga picha ya samaki kwa kutumia barafu
Mzee Allan Umscheid akisikilizia maumivu makali ya upepo wa barafu
Gari la bwana Marguerite Johnstonlikiwa limefunikwa na barafu
0 comments:
Chapisha Maoni