Searching...
Jumatatu, 13 Januari 2014

GAZETI LA MWANANCHI LIMEPOTOSHA HABARI YA CHADEMA,UCHAGUZI NI MWAKA HUU -JOHN MNYIKA

 
 JOHN MNYIKA.
Angalizo Muhimu:Mkurugenzi wa habari na uenezi wa CHADEMA ambaye pia ni mbunge wa Ubungi Mheshimiwa John Mnyika amewatahadharisha watu wanaojadili kile kilichoandikwa na gazeti la mwananchi kwamba uchaguzi wa Chama hicho ni 2015 sio kweli ni uzushi tu wa gazeti hilo.
na huu ndio ujumbe alioutuma kwenye ukurasa wake wa Facebook....Angalizo muhimu,Mnaojadili habari iliyochapwa katika gazeti la Mwananchi kwamba Uchaguzi wa CHADEMA ni mwaka 2015, zingatieni kwamba si kweli. Mara zote nimesisitiza Uchaguzi utakamilika ndani ya mwaka 2014.

0 comments:

Chapisha Maoni

:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Back to top!