Mkurugenzi mtendaji wa Asas Dairies
Ltd Bw Salim Asas Abri kulia akiipokea kamati ya bunge ya
kilimo,mifugo na maji iiliyotembelea shamba la mifugo ya Asas eneo
la Nduli Iringa mjini leo
| Asas akitoa maelezo ya shamba hilo na changamoto zinazowakabili wafugaji nchini mbele ya kamati ya bunge Kilimo ,mifugo na maji leo |
Wajumbe hao wakitembelea shamba bora la mifugo la Asas Iringa leo
Wajumbe wa kamati ya Kilimo, mifugo
na maji kutoka bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania wakiwa
katika picha ya pamoja na uongozi wa shamba la Asas na wilaya ya
Iringa leo
0 comments:
Chapisha Maoni