Searching...
Jumamosi, 26 Oktoba 2013

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMAMOSI AGST.26,2013

WIZARA YA UCHUKUZI
              MAMLAKA  YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM


UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.

TAREHE 26/10/2013.

[Mikoa ya Kagera, Mwanza na Mara ]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mkoa wa Kigoma]:
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua
[Mkoa wa Ruvuma]:
[Morogoro kusini]:

Hali ya mawingu kiasi, mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mkoa ya Dar-es-Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:

Hali ya mawingu, mvua katika baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
[Mikoa ya Dodoma, Shinyanga, Singida na Tabora]: [Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Morogoro (kask)  na Rukwa]:
[Mikoa ya Iringa na  Mbeya]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

 VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
        29°C               
12:23
D'SALAAM
           33°C           
12:15
DODOMA
31°C
12:29
KIGOMA           
30°C
12:52
MBEYA
32°C
12:39
MWANZA
26°C
12:36
TABORA
35°C
12:40
TANGA
30°C
12:15
ZANZIBAR
          32°C           
12:15
PEMBA
30°C
12:15
MOROGORO
33°C
12:22

 Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka Kusini-Mashariki kwa pwani ya Kaskazini na kutoka kaskazini kwa pwani ya kusini.

 Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Makubwa kiasi.
              Matazamio kwa usiku wa leo Jumamosi: 26/10/2013: Mabadiliko kidogo.
 Utabiri huu umetolewa leo tarehe 26/10/2013.

 Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!