Kwa
mujibu wa Maofisa wa Forodha katika mpaka huo upande wa Tanzania,
kuanzia leo serikali ya Rwanda inatarajiwa kuongeza ushuru wa barabara
kutoka dola za Marekani 152 hadi dola 500, hatua ambayo inadaiwa
itasababisha usumbufu na hata foleni kubwa zaidi ya magari hayo
kutokana na baadhi ya madereva kutokuwa na taarifa kuhusu ongezeko hilo
ambapo wengi wao wanapewa wanapewa na matajiri zao kiwango cha ushuru
cha zamani.
Ijumaa, 13 Septemba 2013
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni