Searching...
Alhamisi, 1 Agosti 2013

WAZIRI MKUU WA THAILAND AONDOKA,JK AMUAGA

 Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, akipunga mkono, wakati akipanda ndege yake tayari kuondoka baada ya kumaliza ziara yake ya siku 3 nchini

 Rais Jakaya Kikwete (kushoto) na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jeneral Davies Mwamunyange (katikati)  wakimsikiliza Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Ramadhan Othman (wa pili kulia), walipokutana baada ya Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, kuondoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam j
Rais Jakaya Kikwete, akiwa na mgeni wake, Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, wakipungia kikundi cha sanaa  wakati wa hafla ya kumuaga mgeni wake huyo, Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Julius Nyerere, Dar es Salaam

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!