Searching...
Alhamisi, 1 Agosti 2013

DR.HARISON MWAKIEMBE AZINDUA NANE NANE MBEYA

 Kikundi cha TOT Mbeya wakitumbuiza katika Shughuli za uzinduzi wa Nanenane Mbeya

 Mgeni Rasmi Waziri wa Uchukuzi Dr. Halison Mwakyembe Katikati akiwa meza kuu pamoja na viongozi mbalimbali
 Viongozi mbalimbali wakiwa katika Meza kuu
Katibu wa TASO Kanda ya nyanda za Juu Kusini Ramadhani Kiboko akisoma Risala kwa Mgeni Rasmi
Waziri wa Uchukuzi ambaye alikuwa mgeni Rasmi Dr. Harison Mwakyembe akihutubuia.
 

Wananchi mbalimbali wakiwa wanamngoja mgeni Rasmi kuwasili

Viongozi Mbalimbali wakijipanga tayari kwa kumpokea mgeni Rasmi
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dr. Norman Sigalla akimpokea Mgeni Rasmi Dr. Harison Mwakyembe

Vijana wa Skauti wakimvalisha skafu mgeni Rasmi baada  ya kuwasili uwanjani
Mgeni Rasmi akipokea Heshima kutoka kwa skauti


Mgeni Rasmi akisalimiana na Viongozi Mbalimbali
Mgeni Rasmi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Nanenane Kanda ya Nyanda za Juu kusini Mbeya
Mgeni Rasmi akiingia uwanjani
Mgeni Rasmi akisaini kitabu cha wageni
Mwenyekiti wa TASO Noel Nkoswe  akisoma taarifa kwa Mgeni Rasmi 
PICHA NA MBEYA YETU.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!