Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa dini wa mkoa wa Tabora baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tabora kwa ziara ya siku tatu mkoani humo kuanzia jana Agosti 29, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa (kushoto) baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege waTabora kwa ziara ya siku tatu mkoani humo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatuma Mwasa baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege waTabora kwa ziara ya siku tatu mkoani humo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora Fatuma Mwasa wakati alipokagua mradi wa matofali wa vijana wa Pathfinder Green City katika kijiji cha Tulu wilayani Sikonge Agosti 29, 2013. Alikuwa katika ziara ya siku tatu mkoani Tabora. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Chapisha Maoni