Searching...
Ijumaa, 30 Agosti 2013

DIAMOND PLUTNUM AMZAWADIA MZEE GURUMO GARI JIPYAAAAAAAAAAA!!!!!

DIAMOND SHOW 025 b03d6
Msanii Diamond Platnum amefanya kile kinachoitwa MFANO WA KUIGWA kwa wasanii wote wenye uwezo hapa nchini kwa kutoa zawadi ya Gari kwa Mzee Gurumo Mwanamziki wa miaka mingi na mkongwe nchini aliyestaafu majuzi kufanya kazi za mziiki.(P.T) 
Tukio hilo limetokea usiku huu ndani ya ukumbi wa SERNA HOTELkatikati ja jiji la DSM ambapo Diamond Platnum anazindua video yake ya wimbo wa #one fun.
DIAMOND SHOW 020-1 8998c
Mzee Ngurumo amesema"Haamini macho na masikio yake,hanachakusema zaidi ya ASANTE kwa msanii huyo"Lakini pia amesema hajui hata mke wake atasemaje baada ya kumwona akiingia na gari ndani ya nyumba yake.
Mzee ngurumo amekuwa na matatizo ya kiafya siku za karibuni nakupelea kustaafu mziki kabisa.Wazee wa msondongoma ndio wanajua makali ya Mzee Ngurumo.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!