Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Waziri Mkuu wa Serikali ya Uholanzi
Mark Rutte,alipofika katika Ofisi ya Waziri huyo Nchini The Hague
Uholanzi akiwa katika ziara na Ujumbe aliofuatana nao.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu wa Serikali ya Uholanzi
Mark Rutte,alipofika katika Ofisi ya Waziri huyo Nchini The Hague
Uholanzi akiwa katika ziara na Ujumbe aliofuatana nao,(kushoto) Waziri
wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akifuatana na Mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Serikali ya Uholanzi
Mark Rutte,baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika Ofisi ya Waziri
huyo Nchini The Hague Uholanzi akiwa katika ziara ya Kiserikali na
Ujumbe aliofuatana nao.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Rais na Meneja Mkuu wa kampuni ya Sakura Finetek
Europe,wakati alipotembelea katika Ofisi ya Kampuni hiyo jana,ambayo
inatengeneza Vifaa vya maabara vya Uchunguzi wa Binadamu,nje ya Mji wa
The Hague Nchini Uholanzi akiwa katika ziara ya Kiserikali.
Bibi Regine
Aalders,kutoka Wizara ya Afya nchini Uholanzi,alipokuwa akiwasilisha
mada wakati wa mkutano wa kampuni ya Sekura na Makampuni mengine wakati
walipokutana na Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar nchini humo kwa
ziara ya Kiserikali ambapo ziara hiyo itamalizika kesho.
Baadhi
mya Viongozi wa Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na wenyeji wao
Viongozi wa kampuni ya Sakura Finetek Europe,inayojishuhulisha na
Utengenezaji wa Vifaa vya maabara vya Uchunguzi wa Binadamu,iliyopo nje
ya Mji wa The Hague Nchini Uholanzi wakiwa mkutano wa kufikia kuongeza
kasi ya kutoa huduma bora za Kiafya katika ziara ya Kiserikali.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mtaaalamu wa matumizi ya Vifaa vya
maabara Robert Heijmen,alipotembelea mashine mbali mbali za
uchunguzi wakati wa mkutano na Kampuni ya Sakura Finetek Europe,
inayotengeneza Vifaa vya maabara vya Uchunguzi wa maradhi ya Binadamu,
jana akiwa katika ziara ya kiserikali nchini uholanzi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akitoa hutuba yake wakati wa mkutano na Kampuni ya Sakura Finetek
Europe, inatengeneza Vifaa vya maabara vya Uchunguzi wa Binadamu,wakati
alipotembelea katika Ofisi ya Kampuni hiyo jana,iliyopo nje ya Mji wa
The Hague Nchini Uholanzi,Rais akiwa katika ziara ya Kiserikali.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akipokea Cheki kutoka kwa Rais,pia Meneja Mkuu wa kamapuni ya
Sakura Finetek Europe, Chris Koeman,kwa ajili ya Uchunguzi wa Maradhi ya
binadamu katika Hospitali ya Mnazi Mmoja,wakati wa mkutano wa ushiriano
katika kukuza huduma na kampuni hiyo,na Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar,katika ziara Nchini Uholanzi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa
Kamapuni ya Sakura Finetek ,baada ya mkutano uliofanyika jana baina ya
kampuni na Ujumbe wa Serikali ya Mapinduzi ukiwa katika ziara Nchini
Uholanzi.
[ Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]
0 comments:
Chapisha Maoni