WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12
ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 29/08/2013.
[Mikoa ya Dar Es
Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
[Mkoa wa Morogoro] :
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua
|
[Mikoa ya Mara, Kagera na Mwanza]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi,
ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Arusha,
Kilimanjaro na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, Shinyanga
na Tabora]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida na Rukwa]:
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]
:
[Mikoa ya Iringa, Mbeya na
Ruvuma]:
|
![]() |
Hali ya mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
25°C
|
12:37
|
D'SALAAM
|
31°C
|
12:22
|
DODOMA
|
27°C
|
12:37
|
KIGOMA
|
29°C
|
01:02
|
MBEYA
|
22°C
|
12:43
|
MWANZA
|
30°C
|
12:51
|
TABORA
|
32°C
|
12:50
|
TANGA |
29°C
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
12:22
|
PEMBA
|
28°C
|
12:25
|
MOROGORO
|
30°C
|
12:29
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini – Mashariki kwa
kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka
Mashariki kwa kasi ya km 20 kwa saa kwa Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi Madogo hadi Makubwa kiasi.
Matazamio kwa usiku wa leoAlhamisi: 29/08/2013: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 29/08/2013.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
0 comments:
Chapisha Maoni