Searching...
Alhamisi, 29 Agosti 2013

HIVI NDIVYO MBEYA CITY ILIVYOITANDIKA RUVU SHOOTING BAO 2--1 JANA.

Mgeni rasmi meya wa jiji laMbeya Athanas Kapunga  akisalimiana na wachezaji wa Mbeya city kabla ya mechi kuanza
Meya wa jiji la Mbeya akiongea na timu zote mbili
Hatari golini
Wachezaji wa timu ya Mbeya city wakishangilia ushindi baada ya ya kuitandika Ruvu shooting
Mashabiki wa mbeya city wakishangilia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya ruvu shooting
Kocha wa timu ya Ruvu shooting Charles Boniface Mkwasa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya mpira kwisha
Kocha wa timu ya Mbeya city Mwambusi akiongea na waandishi wa habari

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!