Naibu waziri wa mambo ya ndani, Mh. Pereira akisaini hati
za makabidhiano na mwakilishi mkazi wa shirika la kuhudumia wakimbizi
duniani UNHCR nchini Bi. Joyce Mendes-cote katika kambi ya mtabila,
wilayani kasulu, kambi hiyo imekabidhiwa rasmi kwa serikali.
Baadhi ya watumishi wa mashirika ya umoja wa mataifa wakishuhudia makabidhiano
HABARI NA PICHA NA DEOGRATIUS NSOKOLO KIGOMA.
HABARI NA PICHA NA DEOGRATIUS NSOKOLO KIGOMA.
0 comments:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.