King
Kikii(kushoto) akielezea namna alivyojipanga kuteka mashabiki siku ya
jumamosi hii katika viwanja vya posta .kulia ni mwanamuziki mkongwe
Hamza Kalala.Milango ya uwanja itakuwa wazi kuanzia saa tano asubuhi
hadi usiku mnene,Watoto bureeee mpaka saa kumi na mbili,wakubwa Tsh
8,000/= tu mpaka chwee.Michezo ya watoto,nyama choma na vinywaji
vyakutosha vitakuepo. |
0 comments:
Chapisha Maoni