Searching...
Jumatano, 3 Julai 2013

PSG NA MADRID WAIHARIBIA CHELSEA KWA CAVAN,SASA MOURINHO KUELEKEZA MACHO KWA ROONEY NA LEWANDOWSKY


Feeling blue? Wayne Rooney is now Chelsea's top striker target after Edinson Cavani's price has risen
WAYNE ROONEY .
Taarifa kutoka klabu ya Chelsea zinasema sasa nguvu zao zote wanazihamishia kwa mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney baada ya chaguo lao la kwanza Edinson Cavani kuingiliwa na PSG

Me too: The Blues have also turned their attentions to Borussia Dortmund hitman Robert Lewandowski
ROBERT LEWANDOWSKI.
wakati huo huo taarifa zinasema pia Chelsea wanaongeza juhudi zao kumnasa mshambuliaji wa Borussia Dortmund  Robert Lewandowski kama chaguo lao la pili baada ya Rooney.
Chelsea wanasema mshahara kwao sio tatizo: Chelsea wanaweza wakampa Cavani paundi milioni 250,000 kwa wiki anaoutaka ila sio kwa ada hiyo ya uhamisho
On target: Edinson Cavani is the subject of a big-money bid from PSG, which has put off Chelsea
EDISON CAVAN
MoyesDAVIS MOYES.
 Kati kati ni kocha wa man u Davis Moyes akiwa na wasaidizi wake ambaye anatarajiwa kukutana na Rooney muda wowote kuanzia sasa kumshawishi asiondoke Man U kabla timu hiyo haijaondoka kwenda kupiga kambi Asia na Australia kwa maandalizi ya msimu ujao.
Return: Roman Abramovich remains determined to back Jose Mourinho (above) in the transfer marketJOSE MOURINHO 
Kocha wa chelsea mreno Jose Mourinho ambaye amerejea kuifundisha klabu hiyo kwa mara ya pili baada ya kuifundisha mara ya kwanza kwa mafanikio makubwa ameonyesha uwezekano mkubwa wa kumshawishi Rooney kutua Chelsea msimu ujao.

Real chance: Real Madrid, with new boss Carlo Ancelotti, remain Cavani's first choice for a move
CARLO ANCELOTTI.
katika hali isiyotazamiwa Real Madrid nao wameingilia kati uhamisho wa Edison Cavan ambapo Carlo Ancelotti amesema Cavan ndio chaguo lake la kwanza na tayari amepewa  go ahead na viongozi wa Madrid kumnunua msukuma ndinga huyo,kwahiyo sasa ni vita kati ya mabilionea MADRID vs PSG...nani ataibuka kidedea kumnasa Cavan????


Hitman: Cavani netted twice in Uruguay's 2-2 Confederations Cup playoff penalty loss to Italy
EDISON CAVAN.
Huyu ndiye anayeonekana kuwa mfalme wa soka na lulu katika kipindi hiki cha uhamisho wa wachezaji baada ya kugombaniwa na vigogo vya soka barani ulaya.
Chelsea sasa wamesema wanalazimika kuelekeza juhudi zao kwa washambuliaji Wayne Rooney na Robert Lewandowski baada ya Paris Saint-Germain kupandia ofa ya Chelsea na kuweka mezani kiasi cha paundi milioni 43 ili kumng'oa mshambuliaji wa Napoli Edinson Cavani jana mchezaji ambaye alikuwa ndio chaguo la kwanza la Mourinho darajani msimu ujao.
Roman Abramovich hataki kuingia katika vita vya kumgombea mchezaji huyo japokuwa mabingwa hao wa ufaransa wanaomilikiwa na mabilionea wa Qatar wanayo shoti ya paundi milioni 11 kama watamnunua mruguay huyo
Abramovich anakumbuka rekodi aliyoifanya ya uhamisho wa mshambuliaji wa liverpool wakati huo Fernando Torres aliyemnunua kwa kitita cha paundi milioni 50 Januari 2011 anahofia kupata hasara kama hiyo kwa Cavan ambaye ana umri wa miaka 26

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!