Searching...
Jumanne, 2 Julai 2013

AIBUUUUUUUUUU!!!! MTANZANIA WA BIG BROTHER FEZA KESSY AENDELEA KUGAWA PENZI HADHARANI



Mshiriki  wa  Botswana, Oneal   ameendeleea  kuyafaidi  mate  ya  dada  yetu   ambapo  wakati  huu  jamaa  huyo aliamua kupiga magoti wakati akimwaga "sera za nguvu"  kwa Feza na kumwambia kuwa maisha yake yalikuwa shagala bagala kabla hajakutana na mwakilishi huyo wa Tanzania.
Maneno hayo matamu yalimwingia vyema Feza ambaye alikuwa akitabasamu muda wote kuashiria upendo mzito kwa jamaa huyo wa Botswana ambaye anataka wawe na maisha pamoja siku za usoni.
Washiriki wengine waliamka na kuwashangalia wapenzi hao kama yalivyo maisha ya kawaida.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!