Katika hali ya kusikitisha wakati askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Zanzibar wakiwa katika safari ya kuwazika askari wawili wa JWTZ waliouwawa Dafur nchini Sudani wamepata ajali mbaya baada ya gari la jeshi land Rover kupinduka wakiwa njiani kuelekea mwanakwerekwe mahali ambapo askari hao wamezikwa...angalia picha
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.