 |
Kiongozi
wa Mbio za mwenge kitaifa Juma Ali sumai akisalimiana na Mama
mzazi wa waziri Mkuu Pinda muda fupi baada ya kuwasili kijiji hapo
ukiwa katika wa mbio za mwenge na kufungua miradi minne ya maendeleo. |
 |
| Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Juma Ali Sumai akimtwisha ndoo ya maji mmoja wa mwanamke wa kijiji cha Tupindo Kata ya mbede wilaya ya Mlele Jovina Katumbo muda mfupi baada ya kuzindua mrandi wa kisima kirefu cha maji uliogharimu kiasi cha sh.48.4 ml. |
Mama
mzazi wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda Albetina Kasanga akiwa ameshika
mwenge wa Uhuru ulipotembelea kijijini kwake kibaoni hapo jana wakati
wa mbio za mwenge wa uhuru kwa mwaka 2013
Picha na waltre mguluchuma
BLOGS ZA MIKOA TANZANIA
0 comments:
Chapisha Maoni