Searching...
Jumamosi, 20 Julai 2013

ANDRE VILLAS BOAZ AITAMANI BARCELONA,LAKINI AIONYWA MAN U.


Kocha wa Spurs mreno Andre Villas-Boas amewaonya Manchester United kusahau ndoto za kumsajili mshambuliaji wake Gareth Bale msimu huu wa usajili.
 Swindon Town v Tottenham Hotspur - Pre Season Friendly
GARETH BALE-MCHEZAJI WA TOTTENHAM.
Bale amehusishwa na kuhama White Hart Lane kwenda Real Madrid katika kipindi hiki cha usajili na sasa taarifa zimeanza kuenea kwamba Man U wapo tayari kumng'oa Bale hapo Tottenham kwa gharama yoyote.
 FBL-ASIA-ENG-PR-AUS-MANUTD
DAVID MOYES-KOCHA WA MAN U.
Baada ya tetesi hizo za Man U kumtaka kwa gharama yoyote Bale ndipo AVB akawaonya Man U kwamba nyota wake huyo BALE hauzwi popote.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!