Kiongozi
wa shirika la vijana wajasiliamali Kigoma linalojulikana kama Shirika
la Jua kali, Kapele Shabani (kulia) akitoa maelezo kwa kiongozi wa mbio
za mwenge wa uhuru kwa mwaka huu Juma alli Simai (wa pili kulia) kuhusu
bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na kuzalishwa na kikundi hicho
wakati mwenge wa uhuru ulipozindua rasmi kikundi hicho.
MWANAFUNZI
wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kandaga wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma,
Razalo Meshack (kulia) akizungumza katika makabidhiano ya mwenge wa uhuru kati
ya mkoa Kigoma na mkoa Katavi katika makazi ya wakimbizi wa Burundi Mishamo
wilaya ya Mlele mkoa Katavi (aliyesimama kushoto) ni kiongozi wa mbio za mwenge
wa uhuru Juma Alli Simai)
Mkuu wa mkoa
Kigoma Issa Machibya (kushoto) akikabidhi mwenge wa uhuru kwa Mkuu wa mkoa
Katavi Rajabu Rutengwe (kulia) baada ya mwenge huo kumaliza mbio za siku nane
mkoani Kigoma ambapo ulipitia, kukagua, kuzindua na kufungua miradi 64 yenye
thamani ya shilingi bilioni 13.7
PICHA NA DEOGRATIUS NSOKOLO-KIGOMA.
PICHA NA DEOGRATIUS NSOKOLO-KIGOMA.


0 comments:
Chapisha Maoni