Searching...
Jumatatu, 15 Julai 2013

HIVI NDIVYO MAELFU WALIVYOJITOKEZA KUMUAGA NA KUMZIKA MAMA YAKE NA PROFESA J.







Huyo Mtoto Hapo juu anaitwa LISA ni mtoto wa Pro Jay na MAMA yake ni huyo aliyejifunga kanga

 Prof jay Akiwa na Dada yake

Baba Mzazi wa Prof JayMzee Haule alianza kwa kuweka shada la maua lenye alama ya Msalababa, Kisha wakafata watoto wa marehemu Ambapo alianza dada mkubwa, akafata Prof Jay na kumalizia simple X
 Mtoto mkubwa wa maremu akiweka shada la ua lenye alama M Juu ya kaburi la mama yake, katika makaburi ya Kinondoni
 Mtoto wa pili wa Marehemu Joseph Haule (Prof Jay) Akiweka shada la Maua juu ya kaburi la mama yake lenye alama O


 Prof Jay akisali na kupeleka Dua mbele za Mungu Mara baada ya kuweka Shada la maua katika kaburi la mama yake
 Mtoto wa Tatu wa Marehemu Alex Haule (Simple X) akiweka shada la maua katika kaburi la mama yake lenye alama M


 Baada ya Dada mkubwa kuweka Shada lenye Alama M nakisha Prof kuweka Alama O na kumaliziwa na Simple X kuweka alama M likapatikana neno MOM juu ya kaburi la mama yao Rosemary Majanjala.




Jaydee alipata nafasi ya kuweka shada la maua kama rafiki mkubwa wa Prof Jay 
 Kaka na wadogo wa Prof Jay walio changia Baba wakiweka mashada ya mau juu ya Kaburi


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!