Searching...
Jumanne, 16 Julai 2013

HABARI MPYAAAAAAAAAAAAAA,SITAKI KWENDA MANCHESTER-FABREGAS



Cesc won't join United, say Barca
CESC FABREGAS
Kocha mkuu wa Barcelona Tito Vilanova muda mfupi uliopita amesema Cesc Fabregas hawezi kuondoka klabuni hapo msimu ujao hata kama man u wanamtaka kwa kiwango gani cha pesa
Manchester United wametumia muda wao mwingi kumnasa Fabregas kwa kitita cha paundi milioni 26 lakini Barcelona hawapo tayari kumuuza muhispania huyo mchezaji na nahodha wa zamani wa Arsenal
‘Ni vizuri kupokea ofa kwa mchezaji wetu Cesc Fabregas – kwasababu hii inamaanisha anacheza vizuri",alisema Vilanova.
 "Sitaki kwenda Manchester United,nafurahia maisha hapa,na ninahitaji kushinda vikombe vingi nikiwa hapa alisema Cesc Fabregas

Barcelona's coach Tito Vilanova enters a news conference after a training session at Ciutat Esportiva Joan Gamper in Sant Joan Despi
TITO VILANOVA - KOCHA WA BARCELONA
‘Nimezungumza na Cesc na ameniambia anataka kubaki hapa.anataka kushinda vikombe vingi na Barca.’alikaririwa Vilanova

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!