BENSON CHIBELELA.
Mwenye
picha hiyo hapo juu, anaitwa Benson Chibelela anatafutwa na mwajiri
wake ambaye ni Aldo Sanga kwa tuhuma za wizi alioufanya katika kituo
chake cha kazi wilayani Makete Mkoani Njombe, mtuhumiwa ni mkazi wa mkoa
wa Iringa
Taarifa za tuhuma hizo zipo kituo cha polisi Makete kwa RB namba MKT/RB/347/2013
Kwa
yeyote mwenye taarifa zake anaombwa kutoa kupitia 0765255560 au kituo
cha polisi Makete ama kituo chochote cha polisi kilichopo karibu na wewe
Zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwake
|
Jumatano, 3 Julai 2013
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni