Waendesha
mada katika semina ya kuangalia changamoto katika soko la muziki Afrika
Mashariki na njia za kuzitatua wakijadili umuhimu wa elimu ya muziki
katika soko la muziki, kutoka kulia ni Katibu Mtendaji wa Action Music
Tanzania, Mandoli Kahindi, Mkurugenzi wa sanaa kutoka Global Music
Academy Ujerumani,William Ramsay, Muaandaaji wa muziki wa Uganda, Kazi
Kasozi na Mkurugenzi Mtendaji wa Ketebul Music Kenya, Tabu Osusa
WADAU WAKICHANGIA MADA.



0 comments:
Chapisha Maoni