Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh, Dk.
Ali Mohamed Shein akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Jeshi na Usalama wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa
Pemba Mei,5,2013 ,kwaajili ya uzinduzi
wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa Chokocho wilaya ya Mkoani mkoa wa
Kusini Pemba tarehe 6, Mei,2013.
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Chakechake Mwanajuma Majid Abdalla katika
kiwanja cha ndege cha Pemba Mei,5.2013
tayari kwa uzinduzi wa mbio za Mwenge wa
Uhuru kitaifa hapo Mei 6,2013 katika sheiha
ya Chokocho, wilaya ya Mkoani mkoa wa Kusini Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mh, Balozi Seif Iddi (kulia)
akisalimiana na Waziri wa Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo, Mh, Dk. Fenella Mukangara (kushoto) katika uwanja wa ndege Pemba, Mei,5,2013 alipowasili kwaajili ya kuhudhuria
uzinduzi wa mbio za Mwenge wa uhuru Kitaifa Mei,6,2013 katika sheiha ya Chokocho wilaya ya Mkoani mkoa wa
Kusini Pemba.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,Mh.Balozi Seif
Iddi (kulia) akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,Mh, Pandu Kificho katika uwanja wa ndege Pemba Mei,5,2013
Kikundi
cha brass- band ya vijana wakitumbuiza
wakati wa mapokezi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mh. Dkt. Ali
Mohamed Shein(hayupo pichani) katika uwanja wa ndege wa Pemba ,Mei,5,2013.
Baadhi wa viongozi wa
chama na serikali wakiwa katika uwanja wa ndege wa Pemba kumlaki Rais wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mh. Dkt.Ali
Mohamed Shein(hayupo pichani),kwaajili ya uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru
Kitaifa Chokocho Wilaya ya Mkoani, mkoa wa Kusini Pemba, Mei 5,2013.
Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.
0 comments:
Chapisha Maoni