Makamu
wa raisi Dk. Mohamed Gharib Bilal Pamoja na Stephen Masele wakiwapa pole
majeruhi wa mlipuko wa bomu uliotokea majira ya saa 4;35 asubuhi kwenye
uzinduzi wa kanisa la st.Joseph Mfanyakzi maeneo ya Olasit jijini Arusha. Picha
:Mahmoud Ahmad- Arusha.
Makamu
wa raisi Dr. Mohamed Gharib Bilal Pamoja na Stephen Masele wakiwapa pole
majeruhi wa mlipuko wa bomu uliotokea majira ya saa 4;35 asubuhi kwenye
uzinduzi wa kanisa la st.Joseph Mfanyakzi maeneo ya Olasit jijini Arusha.
Askofu
mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT)Dkt Alex Malasusa
akiwafariji wananchi baada ya kupewa nafasi ya kuwaombea majeruhi waliolazwa
katika hospital ya Mount meru baada ya kulipukiwa na kitu kinachodhani kuwa ni
bomu hapo jana jijini Arusha.
0 comments:
Chapisha Maoni