CHADEMA WATOA MSIMAMO MKALI KUHUSU HATMA YA RASIMU YA KATIBA MPYA
Home
»
Unlabelled
» CHADEMA WATOA MSIMAMO MKALI KUHUSU HATMA YA RASIMU YA KATIBA MPYA
Akisoma hotuba ya kambi rasmi ya upinzani bungeni ya wizara ya katiba na sheria ambaye pia ndiye mnadhimu wa kambi hiyo bungeni mheshimiwa TUNDU LISU hapa amekaririwa akisema
"Endapo
hadi kufikia mwisho wa kipindi hicho Serikali itakuwa haijaleta Muswada
wa marekebisho yanayotakiwa; au endapo Muswada utakaoletwa hautakidhi
matakwa ya kuboresha mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya, basi
CHADEMA itawaalika wanachama, wafuasi na mashabiki wake Tanzania nzima,
pamoja na taasisi za kiraia na za kidini, vyama vya siasa na Watanzania
wote wenye nia njema na taifa hili kuhamasisha Watanzania kuikataa
Rasimu ya Katiba Mpya kwenye kura ya maoni itakayofanyika kwa ajili ya
kuihalalisha Katiba hiyo."-Tundu Lissu, Waziri Kivuli Katiba na Sheria. Huu ndio msimamo wetu rasmi.
0 comments:
Chapisha Maoni