Searching...
Jumatatu, 29 Aprili 2013

WANAWAKE MAKETE WAHATARISHA MAISHA YAO.

 Mama ambaye jina lake halikupatikana mara moja akipita kwenye maji yaliyopoteza mwelekeo baada ya mto kufurika maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Makete eneo la joshoni
Afadhali kidogo ya mama huyu kavaa rain boot huku mkongojo ukimsaidia kukatisha kwenye maji kuelekea kwenye daraja.
 Mto huo ukiwa umefurika maji kupita kiasi.
Huu ni msitu wa chuo cha VETA Makete ambao umewekwa kibao cha onyo, lakini kina mama hao huenda msituni humo kuokota kuni na kupita hapa licha ya onyo hilo
Miti katika msitu wa VETA Makete ukiwa umepuruniwa hali inayoshawishi kina mama hao kwenda kuokota kuni.
Picha zote na Edwin Moshi.


0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!