Searching...
Jumanne, 23 Aprili 2013

UGONJWA WA POLIO WATISHIA WATOTO IRINGA



 Kituo cha afya cha Kiponzelo kilichopo katika Halmashauri ya wilaya ya Iringa, ambapo uzinduzi wa wiki ya chanjo ulifanyika hapo.
Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Ritha Mlagala akitoa huduma ya chanjo kwa mtoto katika Kituo cha afya cha Kiponzelo, ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa wiki ya chanjo nchini.
 Akinamama wa kijiji cha Kiponzelo katika Kata ya Maboga, wakiwa na watoto wao wakisubiri kupatiwa huduma ya chanjo katika Kituo cha afya cha Kiponzelo.
  
 Wahudumu wa kituo cha afya cha Kiponzelo wakiendelea kutoa chanjo kwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano.

Muhudumu akimpima mtoto katika kituo cha afya cha Kiponzelo
(picha na habari na Oliver Motto).

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!