|
Amina Mkombe na Mwanajuma
Mkombe wakisoma utenzi kusherehesha kwenye usinduzi wa wiki ya usalama
bara barani zilizofanyika katika ukumbi wa salama katika hoteli ya
Bwawani Mjini Zanzibar.
Kamishna wa Polisi
Zanzibar Mussa Ali Mussa akitoa takwimu za ajali na vifo kwa mwaka 2012
na 2012 kwenye uzinduzi wa wiki ya usalama bara barani zilizofanyika
katika ukumbi wa salama bwawani hoteli.
Katibu Mkuu Wizara ya
Afya Dr. Saleh Mohammed Jidawi akitoa takwimu za vifo na majeruhi
waliopokelewa katika vituo mbali mbali vya afya hapa Zanzibar kwenye
uzinduzi wa wiki ya usalama bara barani hapo bwawani hoteli.
Mwakilishi wa Wizara ya
elimi Zanzibar Bwana Ahmed Abdull majid akielezea madhara wanayoyapata
wanafunzi waendapo maskulini wakati wanapotumia bara bara kwenye
uzinduzi wa wiki ya usalama bara barani hapo bwawani Hoteli.
Katibu Mkuu Wizara ya
Miundo Mbinu na Mawasiliano Dr. Juma Malik akielezea juhudi
zinazochukuliwa na Wizara yake katika kuendeleza miundo mbinu ya bara
bara ili kupunguza ajali.
Waziri wa Miundo Mbinu
na Mawasiliano Zanzibar Mh. Rashid Seif akizungumza katika uzinduzi wa
wiki ya usalama bara barani hapo Hoteli ya Bwawani Mjini Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Balozi Seif akizindua wiki ya usalama bara barani hapo katika
ukumbi wa salama hoteli ya bwawani Mjini Zanzibar.
Baadhi ya washiriki
walioshuhudia uzinduzi wa wiki ya usalama bara barani zilizofanyika
katika ukumbi wa salama hoteli ya bwawani Mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa Kamati
ya Taifa ya Kudumu ya usalama bara barani Mh. Abdulla Mwinyi ambae pia
ni Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi akitoa shukrani mara baada ya kumalizika
kwa uzinduzi wa wiki ya usalama wa bara barani hapo bwawani Hoteli
Mjini Zanzibar.Picha Hassan Issa wa - OMPR – ZNZ.
|
Jumanne, 23 Aprili 2013
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)








0 comments:
Chapisha Maoni