Searching...
Jumanne, 30 Aprili 2013

KIJANA WA MIAKA 22 AJISHINDIA MILIONI 100 KUTOKA VODACOM.

  Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Bw.Kelvin Twissa(katikati)akiongea na Mshindi wa Droo ya mwisho ya "MAHELA "Bw.Valelian Nickodemus(22) wa Mkoa wa Kigoma aliyejishindia shilingi Milioni 100.
kushoto ni Msimamizi wa Michezo ya kubahatisha nchini Bw.Mrisho Milau na kulia ni Meneja wa Huduma za Ziada wa Vodacom Tanzania,Bw. Benjamin Michael.
Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Bw.Kelvin Twissa (katikati)akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani mara baada ya kumpata mshindi wa Droo ya mwishi ya "MAHELA "Bw.Valelian Nickodemus(22) wa Mkoa wa Kigoma aliyejishindia shilingi Milioni 100.kushoto ni Msimamizi wa Michezo ya kubahatisha nchini Bw.Mrisho Mlau  na kulia ni Meneja wa Huduma za Ziada wa Vodacom Tanzania,Bw. Benjamin Michael.
Kutoka kushoto,Msimamizi wa Michezo ya kubahatisha nchini Bw.Mrisho Milau,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu,pamoja na Meneja wa Huduma za ziada wa kampuni hiyo, Bw. Benjamin Michael,wakichezesha droo ya mwisho ya "MAHELA"ambapo Bw.Valelian Nickodemus(22) Mwanafunzi wa Chuo cha uwalimu Mkoani Kigoma alijishindia kitita cha shilingi Milioni 100,kupitia promosheni hiyo.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!