Kocha mpya wa klabu ya Real Sociedad ya Hispania enzi hizo akiwa Everton akisalimiana na kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson ambaye amekua mshauri wake mkubwa kuhusu soka,ambapo hapo awali alimshawishi ajiunge na Man U lakini mambo yakaharibika na sasa pia amemshawishi ajiunge na klabu hiyo ya Hispani...JE HUKO MAMBO YATAKWENDA SAWA AU YATAKUA YALE YALE!?? Kila la Kheri Moyes.
Ijumaa, 14 Novemba 2014
Related Posts
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
0 comments:
Chapisha Maoni