Searching...
Jumatano, 2 Julai 2014

NADAL ATOLEWA NA KINDA WA AUSTRALIA MASHINDANO YA WIMBLEDON.

Mchezaji bora wa tenesi duniani amejikuta katika wakati mgumu katika mashindano ya Wimbledon baada ya kucharazwa na kutupwa nje ya michuano na kijana mdogo anayechipukia katika mchezo huo kutoka nchini Australia Nick Kyrgio.
Monumental win: Nick Kyrgios celebrates beating Rafael Nadal in the fourth round of Wimbledon Mchezaji kinda wa mchezo wa Tennesi Nick Kyrgios akishangilia ushindi baada ya kumgalagaza mkongwe Rafael Nadal katika mashindano ya Wimbledon.
Can't believe it: The Australian said he didn't know what to do after the victory Mchezaji huyo kinda wa Australia Nick Kyrgios amesema hajui aseme nini baada ya ushindi huo mkubwa na ndoto katika maisha yake.
Respect: The pair shake hands after the match on Centre Court, with the fans going wild Nimekubali yaishe-mkongwe Nadal akimpongeza kinda baada ya ushindi wa ajabu kwa mchezaji huyo kijana.
Agility: The teenager is playing in his first men's event at Wimbledon has now reached the quarter-final
Power: Rafael Nadal fought with everything he had on Centre Court, but was beaten by the better man
Fan favourite: The Wimbledon crowd were right behind the young Australian all game Mashabiki wa kijana Nick Kyrgios walicharuka baada ya kumng'oa Nadali katika mashindano hayo ya Wimbledon.
Skill: The teenager produced some outrageous shots, including this winner in the second set
Skill: The teenager produced some outrageous shots, including this winner in the second set

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!