Searching...
Jumatano, 2 Julai 2014

MSHTUKOOOO....MCHEZAJI WA UHOLANZI NA MAN U AUMIA VIBAYA BRAZILI


Pulled up? Captain Robin van Persie (left) left Holland's training camp with a thigh injury scare
Nahodha wa timu ya taifa ya Uholanzi na tegemeo kubwa la timu hiyo na klabu yake ya Manchester United Robin van Persie (kushoto) ameumia vibaya mazoezini na kuondolewa kunako kambi ya timu hiyo huko Rio nchini Brazili na kuzua hofu kubwa kwa wapenzi na mashabiki wa timu ya Uholanzi na Man U.
Big blow: Van Persie left Holland's training camp with his left thigh taped up after the hour long sesssion in Rio
Taarifa zinasema mchezaji huyo alitolewa uwanjani akiwa amefungwa bandeji lakini daktari wa timu hiyo hakuweza kufafanua mara moja kwamba ameumia wapi na kiasi gani na kama atashindwa kucheza robo fainali au lah.
Time to shine: Klaas-Jan Huntelaar could start for the Dutch if Van Persie is unfit to face Costa Rica
Endapo tegemeo hilo la Uholanzi atashindwa kushuka dimbani kuwavaa Costa Rica kunako mtanange wa robo fainali basi Klaas-Jan Huntelaar anatarajiwa kuchukua nafasi yake.

Circle of trust: Holland team discuss their training tactics ahead of their World Cup quarter-final vs Costa Rica
Timu ya taifa ya Uholanzi wakijadili jambo wakati wa mazoezi kabla ya kuwavaa wa Costa Rica

In-genius idea? Arjen Robben (front) stays on his feet as he underwent during a speed resistance drill
Mshambuliaji wa Pembeni wa Uholanzi Arjen Robben (mbele) yeye yupo fiti kuwavaa wacosta Rica ili kutafuta tiketi ya kucheza nusu fainali ya michuano hiyo.


Tactical guru: Louis van Gaal (right) has led Holland to four wins out of four at the World Cup so far
................Mjadala mazoezini...............
The blueprint: Van Gaal (centre) gives instructions to his squad at the Flamenco football stadium in Rio
Kocha wa Uholanzi Van Gaal (katikati) akitoa maelekezo kwa kikosi chake wakati wa mazoezi huko Rio nchini Brazili.
Van persie.

0 comments:

Chapisha Maoni

 
Back to top!