Vita vya usajili kila kukicha vinazidi kushika kasi ambapo sasa klabu kongwe ya Italia ya Juventus imetangaza vita na Manchester United Mfaransa Patrice Evra

PATRICE EVRA.
Lakini Klabu ya Man U wamesema mchezaji huyo hauzwi kwani amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja ila watafiti wa masuala ya soka wanasema Huenda Evra akaondoka Man U baada ya klabu hiyo kumsajili beki kisiki wa Southampton kwa kitita cha paundi milioni 30ambaye anaonekana kuwa chaguo la kwanza la kocha mpya wa Man U Louis Van Gaal kitendo ambacho Evra hakitaki kwani anataka kucheza mara kwa mara ukizingatia umri wake unataradadi baada ya kutimiza miaka 33
PATRICE EVRA.
Lakini Klabu ya Man U wamesema mchezaji huyo hauzwi kwani amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja ila watafiti wa masuala ya soka wanasema Huenda Evra akaondoka Man U baada ya klabu hiyo kumsajili beki kisiki wa Southampton kwa kitita cha paundi milioni 30ambaye anaonekana kuwa chaguo la kwanza la kocha mpya wa Man U Louis Van Gaal kitendo ambacho Evra hakitaki kwani anataka kucheza mara kwa mara ukizingatia umri wake unataradadi baada ya kutimiza miaka 33
0 comments:
Chapisha Maoni